Matthew 13:30
30 aAcheni ngano na magugu vikue vyote pamoja mpaka wakati wa mavuno. Wakati huo nitawaambia wavunaji wayakusanye magugu kwanza, wayafunge matita matita ili yachomwe moto; kisha wakusanye ngano na kuileta ghalani mwangu.’ ”Mfano Wa Mbegu Ya Haradali
(Marko 4:30-32; Luka 13:18-19)
Copyright information for
SwhKC